Wednesday 6 August 2014

MAJINA YA WANAFUNZI WALIOOMBA VYUO VYA UALIMU 2014/2015 CHETI NA DIPLOMA

...
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Habari yenu wadau wa blog hii pendwa ya MASWAYETU BLOG Tunapenda kuwapa taarifa kuwa tunawaomba muendelee kutembelea blog hii mara nyingi muwezavyo kwani siku si nyingi tutaweka majina ya wanafunzi ambao watakuwa wamechaguliwa na vyuo mbalimbali vya ualimu 2014/2014 pamoja namafunzo ya stashahada Mara tu Wizara itakapoyarusha hewani kwani wafanyakazi wa blog hii ni makini sana na wapo updated sana katika kuhakikisha wanakuletea kitu roho inapenda.

Hivyo basi tuakuomba ulike page yetu ya facebook IJULIKANAYO KWA JINA LA MATUKIO YA WANAVYUO na tunakuomba umwambie na mwenzako kuwa ATEMBELEE MASWAYETU BLOG kwa ushauri,habari na matangazo mbalimbali yahusuyo maisha ta kila siku.

Endapo tukipata tetesi tutakujulisha au unataka kuuliza kuhusu kitu chochote tafadhali tembelea MASWAYETU BLOG  au wasiliana na mmiliki wa blog hii pendwa kwa simu namba 0768260834 nawe utajibiwa bila tatizo.

Wako katika kazi yenye ufanisi INNOCENT-THE BLOGGER BOY.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger