Saturday 3 May 2014

ODAMA ATAJA SABABU KUZAA NJE YA NDOA

...

MKALI wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’ amesema sababu kubwa iliyomfanya azae nje ya ndoa ni maandalizi mazuri aliyojipangia.

Mkali wa sinema za Kibongo, Jenifer Kyaka ‘Odama’.
Odama ambaye amejifungua hivi karibuni, alisema aliamua kuzaa kwanza kisha ndoa ifuate hivyo hajutii uamuzi wake.
“Nimezaa kwa sababu nilijipanga, kuhusu kuolewa ni majaaliwa awe ni huyuhuyu niliyezaa naye au mwingine,” alisema Odama huku akigoma kumtaja baba mtoto.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger