Friday 23 May 2014

BAADA YA DJ HUNTER NA SNURA,MSANII MWINGINE WA KIZAZI KIPYA KAFA KAOZA KWA MANZI WAKE....MAHABA NIUWE NIPOTEZE KAMA NDEGE YA MALEYSIA NJE NJE :

...

Msanii wa kizazi kipya anayejulikana kwa jina la Jaco Beats A.K.A Kilaza na pia ni Msanii wa kwanza ktk Mkoa wa Dodoma anayefanya  vizuri kwa wimbo wake mpya wa ''WALIONUNA'' ambaye Video ya wimbo huo ukiwa unakaribia kutoka hivi karibuni.Pia msanii Super nyota aliyewakilisha mkoa wa Dodoma katika tamasha la fiesta 2013 kwa wimbo wake wa ''KILIAZA'' Ambapo kwa sasa anafanya poa sana kwenye Game:

Msanii wa kizazi kipya anayejulikana kwa jina la Jaco Beats A.K.A Kilaza na pia ni Msanii wa kwanza ktk Mkoa wa Dodoma anayefanya  vizuri kwa wimbo wake mpya wa ''WALIONUNA'' ambaye Video ya wimbo huo ukiwa unakaribia kutoka hivi karibuni.Pia msanii Super nyota aliyewakilisha mkoa wa Dodoma katika tamasha la fiesta 2013 kwa wimbo wake wa ''KILIAZA'' Ambapo kwa sasa anafanya poa sana kwenye Game:
Masanii huyu siku ya leo amepost Picha kwenye Ukurasa wake wa Facebook akiwa na Msichana ambaye inasadikika na Mpenzi wake.... Baadhi ya watu wake wa karibu walifunguka na kudai msaniii huyo kwa sasa hajiwezi kwa manzi huyo yani mapenzi yao ni kama ya Dj Hunter na Snura yani wanamaanisha Mahaba Niuwe nipeteze kama Ndege ya Maleysia





Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger