Friday 23 May 2014

MASOGANGE HANA HABARI NA MTU HUKO INSTAGRAM, CHEKI PICHA HIZI MPYA

...

Hodari wa kutupia picha zenye utata katika mitandao ya kijamii na kujikuta anajipatia umaarufu mkubwa kwa tabia hiyo yakuachia umbo lake matata hadharani Agness Gerard aka Masogange au mama wa Mibegi.
Ameibuka tena kwa kutupia picha ambayo haina maadili ya kitanzania katika mtandao wa kijamii Istagram, picha hiyo ikimuonesha mwanadada huyo akiwa amevalia kiguo ambacho kimemuweka wazi sehemu kubwa ya mwili wake ikiwemo mapaja, kitovu, mgogo na kiuno.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger