Monday 25 September 2023

WANANCHI WANAKARIBISHWA KATIKA BANDA LA TPA KATIKA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI

...
Watumishi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania- TPA, wameendelea kutoa Elimu kwa Wananchi kuhusu Huduma zinazotolewa na TPA Katika Maonesho ya sita ya kimataifa ya Teknolojia ya Madini 2023, yanayoendelea katika Viwanja vya EPZ Bombambili Mkoani Geita.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger