Tuesday 26 September 2023

MPYA:MKUU WA WILAYA KENANI KIHONGOSI ATANGAZA KAZI YA KUTENGENEZA LOGO

...

 


Maswayetu blog imenasa taarifa nyeti na nzuri kwa vijana watafutaji kutoka kwa Kihongosi,

"Tunaandaa URAMBO TUMBAKU MARATHON itakayofanyika mwezi wa tatu mwaka 2024 Ikiwa na Lengo la Kuboresha Miundombinu ya Elimu.


Sasa Naomba VIJANA wenye uwezo wadesign LOGO(Ambayo itakuwa ndio Medali Rasmi ya Marathon yetu) Logo ambayo Itashinda kwa vigezo Mshindi atapewa zawadi ya Shilingi Laki Tano(500,000). Tuma logo yako katika namba yangu ya Whatsup 0744940380 na namba ya Afisa Tarafa wetu wa Urambo 0677003189 @afisatarafaurambo

Mwisho wa kusubmit LOGO hii ni kuanzia Leo hadi TAREHE 1 mwezi wa Kumi.

Pia tutahitaji washiriki 600 katika Marathon yetu na kila Mshiriki atachangia shilingi 30,000/= ambayo utapewa MEDALI na TISHIRT itafanyika MWEZI WA TATU TAREHE 2 MWAKA 2024.

Wale Mtaotaka kushiriki basi tutakuwa na Group la Whattsup kwaajili ya Marathon yetu hii.

Naomba tuwasiliane kwa SMS tu kupata Taarifa au maelezo zaidi ASANTENI SANA.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger