Saturday 16 September 2023

WAZIRI TAMISEMI: SERIKALI IMETOA KIBALI CHA AJIRA 43000 AFYA NA ELIMU ,DIPLOMA NA CHETI WAKUMBUKWA

...



Na ripota,Maswayetu blog 

Leo Mapema Rais Samia Suluhu Hassan amefanya ziara katika mikoa ya kusini mwa Tanzania ,Mtwara.

Rais Samia ameanza kusalimiana na wananchi wa halmashauri ya Mji Nanyamba,ambapo baada ya hapo alielekea Wilaya Ya Tandahimba na kufanya mkutano wa hadhara.

Baada ya mkutano wa Tandahimba alielekea wilaya ya Newaala,ambapo katika salamu za Mawaziri, Waziri wa Tamisemi Mh.Mchengerwa Ametanagza kuwa Rais ametoa kibali cha kuajiri watanzania wenye diploma,cheti na digrii zaidi ya 43000 ambapo atazitangaza siku sio nyingi.

Hivyo amewataka vijana wajiandae kuomba na kwenda kuwatumikia watanzania.

Mwisho.

Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger