Tuesday 26 September 2023

MPYA:WANAFUNZI 17 WAFUKUZWA CHUO CHA SAYANSI NA AFYA YA BINADAMU LEO

...

 Habari zilizotufikia Maswayetu blog ni kwamba chuo cha sayansi na tiba cha DECCA kilichopo Mkoani Dodoma kimeamua kuwafukuza wanafunzi wake 17 ambao walihoji uhalali wa kozi wanayosoma kama ina uhalali.



wanafunzi hao walifanikiwa kufika makao makuu ya wizara na kuuliza kama kozi wanayosoma inatambulika,ambapo mkurugenzi mafunzo NACTE aliwajibu kwamba kozi hiyo imefutwa tangu mwaka 2019.

Taarifa kamili inawajia hivi punde..


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger