Saturday, 30 September 2023

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR ATEMBELEA BANDA LA GGML MAONESHO YA MADINI GEITA

Meneja Mwandamizi wa GGML anayeshughulikia mahusiano ya jamii, Gilbert Mworia akimpatia zawadi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman alipotembelea banda la kampuni hiyo katika Maonesho ya Sita ya Tekonolojia ya Madini Geita. Suleima alikuwa mgeni rasmi katika ufungaji wa maonesho hayo. Meneja...
Share:

TPA YAPONGEZWA KUSHIRIKI NA KUDHAMINI MAONESHO YA SITA YA KIMATAIFA YA TEKNOLOJIA YA MADINI MKOANI GEITA.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Prof. Godius Kahyarara ameipongeza TPA kwa kushiriki na kudhamini maonesho ya Sita ya Kimataifa ya Teknolojia ya Madini yaliyofikia tamati leo tarehe 30 Septemba,2023 Katika Viwanja vya EPZ Bombambili Mjini Geita. Amesisitiza umuhimu wa TPA kufanya Kampeni za Kimasoko...
Share:

WAZIRI WA MADINI ATEMBELEA BANDA LA GGML,ASHUHUDIA MRADI WA UWANJA WA KISASA

Meneja Mawasiliano wa Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), Stephen Mhando akimpatia maelezo Waziri wa Madini, Anthony Mavunde kuhusu baadhi ya miradi inayotekelezwa na GGML ikiwamo ujenzi wa uwanja wa kisasa wa Magogo ambao unatakelezwa na kampuni hiyo. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita,...
Share:

WAZIRI MAVUNDE AIPONGEZA TANTRADE KURATIBU NA KUSIMAMIA KLINIKI YA BIASHARA GEITA

Waziri wa Madini Anthony Mavunde (Kushoto), akisikiliza maelezo kutoka kwa Afisa Biashara wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE), na Msimamizi Mkuu wa Kliniki ya Biashara katika Maonesho ya sita ya Teknolojia ya Madini, Bi. Samirah Mohamed (kulia), kuhusu Kliniki ya Biashara inayoratibiwa...
Share:

Friday, 29 September 2023

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMAMOSI SEPTEMBA 30,2023

...
Share:

JKT TANZANIA , KAGERA SUGAR HAKUNA MBABE CCM KAMBARAGE

  Na Mwandishi wetu _ Malunde 1 blog Timu ya JKT Tanzania wametoka thuruhu ya goli 1 - 1 dhidi ya Kagera Sugar kwenye nmchezo wa ligi kuu NBC Tanzania Bara. Mchezo huo uliochezwa leo Septemba 29, 2023 katika uwanjan wa CCM Kambarage Mjini Shinyanga uliomalizika kwa droo ya goli 1 - 1 huku...
Share:

WATAALAM UGANDA WATINGA MAONESHO YA MADINI GEITA, WAPEWA DARASA TEKNOLOJIA MPYA UCHIMBAJI MADINI

Mhandisi Uchimbaji Mwandamizi wa mipango kazi mirefu na wa chini ya ardhi kutoka GGML, Emanuel Njabugeni (kushoto) akiwaelezea wageni kutoka nchini Uganda namna GGML inavyotumia teknolojia mbalimbali katika uchimbaji wa wazi na wa chini kwa chini ya ardhi. Na Mwandishi wetu - Geita MAONESHO...
Share:

USAILI “INTERVIEW” SEKRETARIETI YA AJIRA DODOMA KIZUNGUMKUTI ‘JINSI MARIUM ABDUL” ALIVYONYIMWA HAKI YAKE YA MSINGI YA KUFANYA USAILI,BAADHI YA MAOFISA KUJIITA MIUNGU WATU MFANO:ALLY MTUMISHI SEKRETARIETI YA AJIRA

  Na mwandishi Maswayetu blog; Baada ya Serikali ya Jamhuri ya MUUNGANO kuhakikisha kwamba nafasi za kazi zote Tanzania zinatolewa kwa usawa na uwazi kwa vijana wote wanaopambana kutafuta kazi Serikalini,kumekuwa na changamoto nyingi katika usaili huo ambao wafanyakazi wake wamegeuka Miungu...
Share:

HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO IJUMAA SEPTEMBA 29,2023

  ...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger