Aliewahi kuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, kabla ya kuhama CCM na kwenda CHADEMA ambako alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Ilala,Dk.Makongoro Mahanga amefariki Dunia.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini Makene, amethibitisha kutokea kwa msiba huo.
"Ni kweli aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Ilala na Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama amefariki asubuhi ya leo, alikuwa amelazwa tangu juzi Muhimbili, taarifa za kina zaidi tutazitoa baadaye" amesema Makene.
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini Makene, amethibitisha kutokea kwa msiba huo.
"Ni kweli aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Ilala na Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama amefariki asubuhi ya leo, alikuwa amelazwa tangu juzi Muhimbili, taarifa za kina zaidi tutazitoa baadaye" amesema Makene.
0 comments:
Post a Comment