Monday, 23 March 2020

TANZIA: Mwenyekiti wa CHADEMA Mkoa wa Ilala Dk Makongoro Mahanga afariki dunia

...
Aliewahi kuwa Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, kabla ya kuhama CCM na kwenda CHADEMA ambako alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Ilala,Dk.Makongoro Mahanga amefariki Dunia.

Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa chama hicho, Tumaini Makene, amethibitisha kutokea kwa msiba huo.

"Ni kweli aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Ilala na Mjumbe wa Baraza Kuu la Chama amefariki asubuhi ya leo, alikuwa amelazwa tangu juzi Muhimbili, taarifa za kina zaidi tutazitoa baadaye" amesema Makene.



Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger