Sunday 29 March 2020

MATUKIO YA ZIARA YA KIMASOMO YA WASHINDI WA SHINDANO LA CMSA KWA VYUO VIKUU NA TAASISI ZA ELIMU YA JUU

...




Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko na Mitaji ya Dhamana (CMSA)
Nicodemus Mkama akizungumza na wanafunzi (hawapo pichani) wakati wa
ziara ya mafunzo ya washindi wa shindano la vyuo vikuu na Taasisi za
Elimu ya Juu kwa mwaka 2019 linaloendeshwa na CMSA.


Baadhi ya washindi wa Shindano linaloendeshwa na CMSA kwa vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa mwaka 2019.

Watendaji wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA)
wakimsikiliza Afisa Mtendaji Mkuu wa mamlaka hiyo (hayupo pichani)wakati
wa ufunguzi wa ziara ya kimasomo kwa washindi.

Ofisa wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE) akiwafundisha wanafunzi
vinara wa shindano la vyuo vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu kwa mwaka
2019.
Ofisa wa Soko la Hisa Dar es Salaam(DSE)wakiongea na wanafunzi.

Mkurugenzi wa Utafiti,Sera na Mipango CMSA, Alfred Mkombo (wa kwanza
kulia) na Mkurugenzi wa Usimamizi na Maendeleo ya Masoko CMSA,Exaut
Julius.

Mkurugenzi wa Utafiti,Sera na Mipango CMSA, Alfred Mkombo
akiwasilisha mada katika ziara ya wanafunzi washindi wa shindano la
CMSA kwa vyuo vikuu.
Mmoja wa watendaji akizungumza na wanafunzi. 

Mkurugenzi wa masuala ya kisheria, Fatma Simba, akizungumza na wanafunzi (hawapo pichani) 




Picha ya Pamoja ya wanafunzi vinara wa shindano la CMSA kwa vyuo
vikuu na Taasisi za Elimu ya Juu. Wa Kwanza kushoto ni Ofisa wa
Mawasiliano CMSA, Charles Shirima.
Picha ya pamoja ya wanafunzi na watendaji wa CMSA.
Wanafunzi vinara wa shindano la CMSA kwa mwaka 2019
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger