Monday 27 May 2019

Shule za Sekondari 1241 Zajengewa Mabweni

...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa ,na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Seleman Jafo, amesema hadi sasa shule za sekondari 1,241 zimejengewa mabweni kati ya shule za sekondari 3,634 zilizopo kwa kutumia ruzuku kuu.

Jafo amesema hayo leo Jumatatu Mei 27, bungeni jijni Dodoma, wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Azza Hilaly Hamad (CCM).

Katika swali lake, Azza alihoji serikali ina mkakati gani wa kujenga mabweni katika shule za sekondari zilizoanzishwa kitarafa ili kuwasaidia watoto wa kike kupata elimu bora.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger