Sunday 26 May 2019

CHUO CHA TANGANYIKA POLYTECHNIC ARUSHA CHAWAPA WAJASIRIAMALI MAFUNZO YA KUTENGENEZA MIFUKO YA KARATASI

...

Meneja wa Sido mkoa wa Arusha,Uongozi wa Chuo pamoja na wahitimu wa mafunzo ya kutengeneza mifuko ya karatasi wakiwa katika picha ya pamoja. 
Wanakikundi kutoka eneo la Lemara jijini Arusha waliopata mafunzo ya muda mfupi ya kutengeneza mifuko ya karatasi ili kuendana na sera ya serikali kuondoa matumizi ya mifuko ya nailoni,mafunzo hayo yametolewa na wakufunzi wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic jijini Arusha. 
Wanakikundi kutoka eneo la Lemara jijini Arusha waliopata mafunzo ya muda mfupi ya kutengeneza mifuko ya karatasi ili kuendana na sera ya serikali kuondoa matumizi ya mifuko ya nailoni,mafunzo hayo yametolewa na wakufunzi wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic jijini Arusha. 
Mmoja wa walionufaika na mafunzo ya kutengeneza mifuko ya karatasi katika Chuo cha Tanganyika Polytechnic ,Bakari Juma akitoa ushuhuda namna inavyomwingizia kipato kutokana na mahitaji kuongezeka. 
Meneja wa shirika la Sido mkoa wa Arusha,Nina Nchimbi akizungumza wakati wa hafla ya kufunga mafunzo kwa wajasiriamali wa kutengeneza mifuko ya karatasi ,kushoto ni Mkurugenzi wa ubunifu wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic kilichota mafunzo hayo,Dk Richard Masika na Mkuu wa Chuo,Abdul Semvua. 
Mkurugenzi wa ubunifu wa Chuo cha Tanganyika Polytechnic kilichopo Njiro,Dk Richard Masika akizungumza katika hafla hiyo. 
Share:

1 comments:

Unknown said...

naomba kupata; mafunzo hayo tafadharini sana 🔰0682146147/0716882018

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger