Thursday 30 May 2019

Rais Magufuli arejea nchini akitokea Zimbabwe

...
Rais John Magufuli amerejea nchini kutoka Zimbabwe ambapo amepokelewa na viongozi mbalimbali wakiwemo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda na Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jen.  Venance Mabeyo.

Rais  Magufuli kwa takribani wiki moja sasa amekuwa ziarani katika nchi kadhaa za Afrika, ziara hizi za wanachama wa SADC zilikuwa muhimu kwa sababu ya uhusiano wa kipekee na kihistoria wa Tanzania na nchi hizo 


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger