Monday, 22 April 2019

Viwanja Vikubwa Vinauzwa: Bunju na Mapinga (Baobab Sec)

...
Viwanja Bei nafuu: Bunju na Mapinga (Baobab sec)

Viwanja vinauzwa Mapinga kama ifuatavyo:
Ukubwa 25/10 bei milion 2.5 tu, ukubwa 20/20 (sqm 400) bei yake milion 5, ukubwa 20/30 (sqm 600) bei milion 7, ukubwa 20/40 (sqm 800) bei milion 9, ukubwa 40/40 (sqm 1600) bei milion 20, ukubwa 40/50 (sqm 2000) bei milion 24, ukubwa 40/60 (sqm 2400) bei milion 28. Viwanja hivi viko Mapinga (Baobab sec) umbali wa km 2 tu kutoka main road (Dar to Bagamoyo Road). Kuna majirani wa kutosha na huduma za umeme na maji zipo.

Kwa Bunju kipo kiwanja cha sqm 400 kwa bei ya milion 15 pamoja na sqm 1750 kwa bei ya tsh 50 milion.

Biashara hii haina dalali/udalali, mpigie mhusika kwa 0758603077 au whatsap 0757489709

Ukipata ujumbe huu mjulishe ndugu/jamaa/rafiki


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger