Monday 29 April 2019

Rais Magufuli azindua kiwanda cha Maparachichi

...
Rais Magufuli amezindua kiwanda cha Maparachichi Wilayani Rungwe Mkoani Mbeya ambapo amewaahidi wawekezaji wa Kiwanda hicho kurejesha VAT zinazodaiwa na wawekezaji baada ya  zoezi la uhakiki kukamilika.

Amesema, Serikali ilizuia kurejesha fedha hizo kutokana na wawekezaji wengi waliwasilisha madeni hewa na hivyo kuisababishia Serikali hasara kubwa.

Aidha Rais Magufuli amemuomba mwekezaji huyo kuwafikiria wakulima kuhusu suala la nyongeza ya bei ya zao lao pamoja na mshahara kwa wafanyakazi. 

==>>Msikilize hapo chini


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger