Tuesday, 9 April 2019

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa

...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma Dkt. Oscar Albano Mbyuzi.

Kufuatia uamuzi huo, Rais Magufuli amemteua Jimson Peter Mhagama kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa ni kuwa uteuzi wa Mhagama unaanza leo tarehe 09 Aprili, 2019.




Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger