Sunday, 21 April 2019

Haji Manara Ataja Tofauti Ya Kocha wa Simba na Yanga

...
Ofisa Habari wa klabu ya Simba, Haji Manara, ametaja utofauti wa makocha Mwinyi Zahera wa Yanga na Patrick Aussems wa Simba.

"Tofauti ya kocha wa mpira na kocha wa Sunsumia au kibao kata unafungwa unawapongeza wa shindi na kukubali mapungufu yako angekuwa yeye!!!

Waamuzi wanatuonea mimi nimefundisha ulaya mika Arobaini (Ukigogle huoni timu alizo fundisha zaidi ya kufundisha kucheza Ndombolo na Mayenda) oooh Simba inabebwa leo Fei Toto hawakuvaa boksa na hawajala toka juzi!!!

"Ila akishinda sasa ninafuu kupiga gitaa kuliko Diblo na ile fasi ya putuluu imekuja na Ndege na ndio mana sisi wa Congo tunapendwa na madada wa kibongo .

Kocha mzuri huzungumzia vitu Technical na sio Riwaya kwa mahawala wako wanao tumia mkorogo wa buku" ameandika Manara kupitia ukurasa wake wa Instagram.


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger