Friday, 19 April 2019

Dereva wa gari dogo aina ya Nissan March Afariki dunia baada ya gari hilo kugongana na Basi la Mwendokasi Dar

...
Dereva wa gari dogo aina ya Nissan March lenye namba za usajili T968 DNZ amefariki dunia baada ya gari hilo kugongana na Basi la Mwendokasi eneo la Magomeni Mapipa leo mchana.
 
Dereva wa gari dogo alikuwa anakata kona kutoka Magomeni kwenda Kariakoo, katika taa za kuongoza magari za Magomeni Mapipa ambazo hazikuwa zinawaka. Ndipo gari dogo likachelewa kupita, na kukutwa katikati ya barabara na Basi la Mwendokasi lililokuwa likielekea Kimara.
 

Baada ya kumpitia, Basi ka Mwendokasi likaichana gari katikati na dereva kufariki pale pale


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger