Friday, 19 April 2019

Bodi ya Filamu Tanzania Wailaan Kauli ya Mbunge Joseph Musukuma

...
Bodi Filamu amesema kauli iliyotolewa na Mbunge Joseph Musukuma inadhalilisha bodi hiyo na wasanii.

Jana Bungeni Musukuma alisema, 'Tasnia ya filamu nchini ipo hoi taabani. Wasanii wa Bongo Movie hawana kitu, wanategemea michango ya misiba, kufungua madanguro na kuwa makuwadi wa wanaume'.



Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger