Na Heri Shaban MBUNGE wa Segerea Bonah Ladislaus(CCM) amewalalamikia Watendaji kwa kukosa uaminifu katika fedha za Serikali. Bonah aliyasema hayo katika mkutano wa hadhara Kata ya Vingunguti Jimboni Segerea Dar es salaam uliofanyika katika kata hiyo hii leo. Aidha alisema Rais wa awamu ya tano John Magufuli ametoa shilingi bilioni 2 kwa ajili ya miundombinu ya afya hivyo ni vema watendaji kushirikiana kikamilifu katika kuzisimamia ili miradi ikatekelezeke sawa sawa na ilivyopangwa. “Serikali imeleta fedha za kutosha shilingi bilioni 2 Jimbo la Segerea changamoto kubwa iliyokuwepo tuna watendaji wasio waminifu…
0 comments:
Post a Comment