Tuesday, 19 February 2019

WATANZANIA TAKRIBANI MILIONI 23 WANAKADIRIWA KUTUMIA INTANETI NCHINI

...
Na mwandishi wetu Dodoma Takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) za septemba, 2018  zinaonyesha  ongezeko kubwa la watumiaji wa mtandao  wa intaneti ambapo  watumiaji wa mtandao wa intaneti wanakadiriwa kuwa takribani  milioni 23 sawa na asilimia  45% ya watanzania ikilinganisha  na watumiaji milioni 7.5  sawa na aslimia  17%  mwaka  2012. Hayo yamesemwa na Waziri wa ujenzi , uchukuzi na mawasiliano  Mhandisi Isack kamwelwe  Jijini Dodoma, wakati akisoma hotuba kwa Niaba ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Mh Samia Hasan, katika ufungunzi wa Kongamano  la waraghabishi…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger