Na.Amiri kilagalila Serikali mkoani Njombe inategemea kuanza kuwaburuza mahakamani siku ya kesho wale wote waliouhusika na mauaji ya watoto wadogo mkoani Njombe kutokana na upelelezi kukamilika kwa baadhi ya kesi Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher olesendeka aliyasema hayo hii leo mbele ya makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Tanzania bara Philip Mangula katika mkutanao na mabalozi wa halmashauri ya mji mdogo wa makambako pamoja na viongozi wa chama hicho mkoa uliofanyika katika ukumbi wa shule ya secondari makambako mjini humo. “Tulijipanga vizuri tuliomba nguvu ya ziada kutoka makao…
0 comments:
Post a Comment