Thursday, 7 February 2019

WALIOBAINIKA MAUAJI YA WATOTO NJOMBE KUANZA KUBURUZWA MAHAKAMANI

...
Na.Amiri kilagalila Serikali mkoani Njombe inategemea kuanza kuwaburuza mahakamani siku ya kesho wale wote waliouhusika na mauaji ya watoto wadogo mkoani Njombe kutokana na upelelezi kukamilika kwa baadhi ya kesi Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher olesendeka aliyasema hayo hii leo mbele ya makamu mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Tanzania bara Philip Mangula katika mkutanao na mabalozi wa halmashauri ya mji mdogo wa makambako pamoja na viongozi wa chama hicho mkoa uliofanyika katika ukumbi wa shule ya secondari makambako mjini humo. “Tulijipanga vizuri tuliomba nguvu ya ziada kutoka makao…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger