Thursday, 14 February 2019

WAJAWAZITO WANAPATA TABU WAKATI WA KUJIFUNGUA KWA KUKOSA VIFAA MUHIMU-MAVUNDE

...
Naibu waziri sera,Bunge,Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye ulemavu ,Ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh  Antoy Peter Mavunde amesema kuwa asilimia kubwa ya wakina mama wanapata tabu wakati wa kujifungua kwa kukosa vifaa muhimu . Mavunde ameyasema hayo katika kituo cha afya cha makole kilichopo Jijini Dodoma, wakati akikabidhi Msaada katika kituo hicho ikiwa ni kuonesha upendo kwa wakina mama wajawazito wanao kwenda kujifungua na ikiwa ni siku ya wapenda nao, hivyo ameamua kutenga siku hiyo kwaajili ya kuwasaidia kutokana na changamoto kubwa ambazo zimekuwa zikiwakabili…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger