Mbeya Taasisi ya Tulia Trust inayoongozwa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Tulia Ackson,imekabidhi vifaa vya ujenzi kwa shule ya sekondari ya Kinyala wilayani Rungwe nkoani Mbeya. Akikabidhi vifaa hivyo meneja Tulia Trust Bi.Jacqueline Boaz amesema vifaa vya ujenzi vilivyokabidhiwa ni pamoja na mabati bando 13 yenye thamani ya shilingi milioni tano kwa shule ya sekondari Kinyala ikiwa ni utekelezaji wa ahadi aliyo itoa Naibu Spika Dr.Tulia Ackson wakati wa harambee iliyofanyika shuleni hapo mwishoni mwa mwaka jana. BibJacqueline ameongeza kuwa katika harambee ile naibu…
0 comments:
Post a Comment