Saturday, 9 February 2019

TOZO YA USHURU YA MCHUZI WA ZABIBU YAPUNGUZWA TOKA Tsh 3,315 MPAKA Tsh 450,MBUNGE DITOPILE AUNGURUMA

...
Hatimaye Serikali ya CCM chini ya uongozi wa Mh Rais Dr John Pombe Joseph Magufuli imesikia kilio cha wakulima wa Zabibu mkoani Dodoma cha ukosefu wa soko la zabibu kutokana na tozo kubwa ya ushuru wa bidhaa iliyokuwa ikitozwa Tsh 3,315 kwa lita kwa kinywaji kikali kitokanacho na mchuzi wa zabibu. Akichangia leo Bungeni katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria Na.2/2019 Mbunge wa Viti Maalum Mh Mariam Ditopile ameishukuru serikali kwa kuleta mabadiliko hayo ya ushuru wa bidhaa na kupunguza tozo hiyo ambayo itawasaidia wakulima kupata soko la uhakika wa…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger