Friday, 15 February 2019

TANESCO WAPEWA SIKU TATU KUANDAA MKAKATI WA KUMALIZA TATIZO LA UMEME SONGWE

...
Shirika la Umeme nchini, TANESCO Mkoa wa Songwe limepewa siku tatu kuandaa mkakati utakaoelezea namna ya kumaliza matatizo ya umeme ikiwemo katizo la mara kwa mara la umeme na tatizo la kiwango kidogo cha umeme.  Mkuu wa Mkoa wa Songwe Brig. Jen. (Mst) Nicodemus  Mwangela  ametoa agizo hilo mapema leo asubuhi alipofika ofisi za TANESCO Songwe kufuatia kukatika mara kwa mara kwa umeme na pia kila siku ya Jumamosi ambapo alimtaka Meneja wa shirika hilo kueleza mkakati wa kumaliza tatizo hilo.  “Nimekuja hapa kwakuwa naona sasa tunageuka makubaliano ya kukata…

Source

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger