Na Amiri kilagalila Mamlaka ya mapato TRA mkoa wa Njombe imefanya oparesheni ya dharura ya ukaguzi wa mashine za kielektronic za kukatia risiti katika taasisi za shule , Zahanati pamoja na vituo vya afya na kubaini kuwa idadi kubwa ya taasisi hizo hazitumii mashine hizo na kutoa muda wa wiki mbili kwa taasisi hizo kununua mashine hizo vinginevyo zitapigwa faini ya kuanzia mil 3 hadi 4 kwa kuisababishia hasara serikali. Akizungumza mara baada ya kukamilisha zoezi la ukaguzi wa mashine hizo meneja wa TRA mkoa wa Njombe Musib Shaban amesema…
0 comments:
Post a Comment