Mtoto anayekadiliwa kuwa umri wa miezi 7 amekutwa ameuawa kikatili na mwili wake kutelekezwa katika kontena la taka lililopo soko la kihesa manispaa ya iringa. Akizungumza na mtandao huu Mwenyekiti wa Mtaa wa Sokoni AGUSTINO KIMULIKE amesema kuwa dampo hilo linatumika na mitaa mitatu hivyo kama serikali wanaendelea kushirikiana na wananchi ili kumbaini mwanamke aliyefanya kitendo hicho. Kwa upande wake Mtendaji wa Kata ya Kihesa SWEBE DATUS amesema kuwa wananchi wanapaswa kukomesha matukio kama hayo kwani yanaleta sifa mbaya katika jamii. Nao baadhi ya wananchi wa Mtaa huo Kata ya…
0 comments:
Post a Comment