Na Heri Shaban MANISPAA ya Ilala Dar es salaam imekabidhi mkopo wa tsh. 153,000,000mil kwa Wanawake,Vijana na Watu wenye ulemavu. Zoezi la utoaji wa mikopo hiyo liliongozwa na Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala Jumanne Shauri ambapo kila kikundi kilipewa Hundi ya shilingi millioni 3 na Kikundi cha Vijana kilichopo Kitunda kilipewa milioni kumi. Akizungumza katika zoezi hilo Shauri aliagiza kila Kata Manisipaa Ilala waanzishe Viwanda vidogo vidogo ili waweze kukuza uchumi katika wilaya ya Ilala. “Serikali yetu tukufu inayoongozwa na Rais wa awamu ya tano John Magufuli Leo imetekeleza utoaji…
0 comments:
Post a Comment