Na: Mwandishi wetu Kagera. Mkoa wa Kagera katika kuadhimisha kilele cha wiki ya Sheria Februari 6, 2019 Mahakama Kuu Tanzania Kanda ya Bukoba chini ya Jaji Mfawidhi Lameck Mlacha imeweza kusikiliza kwa mara ya kwanza kesi Namba 56 ya mwaka 2018 ya Mwalimu Respikius Patrick Mtazangira na Mwalimu Erieth Gerald dhidi ya mauaji ya Mwanafunzi marehemu Spelius Eradius wa Kibeta Shule ya Msingi Manispaa ya Bukoba aliyepigwa hadi kupelekea umauti wake tarehe 27.08.2018 Katika shauri hilo upande wa Jamhuri uliwakilishwa na Wakili Msomi Chema Maswi Kaimu Mwendesha Mashitaka Ofisi ya…
0 comments:
Post a Comment