Friday, 15 February 2019

Hiki Ndicho Wanacho Kiwaza Wanaume Wengi Kuhusu Kuingia Katika Mahusiano /ndoa Na Single Mothers

...
Wewe  ni  Single  Mother ?  Upo  katika  mahusiano  ya  kimapenzi  na  mwanaume ? Au  unataka  kuingia  katika  mahusiano ya  kimapenzi/uchumba/ndoa  na  mwanaume  ambae  si  baba  wa  mtoto  wako?

Basi  kabla  ya  kufanya  hivyo,unatakiwa  kujua  kitu  gani  wanacho  kiwaza  wanaume  wanao  ingia  katika  mahusiano  na  single  mothers.

Pia  unatakiwa  kuyafahamu  mambo  wanayo  yawaza wanaume  wengi  kabla  ya  kuingia katika  ndoa  na  single  mothers.

Mahusiano  mengi ya  single  mothers  yanashindwa kufika  mbali  kwa  sababu  single  mothers  wengi  huwa  wanaingia  katika  mahusiano  na  wanaume  bila  kuyafanyia   analysis  mambo  haya  muhimu  kabisa  kwa  kila  single  mother kuyafahamu.

AFRICANDADAZ ime kusanya maoni  kutoka  kwa  wanaume  mbalimbali kuhusu  uzoefu  wao  na  mtazamo  wao  kuhusu  kuingia  katika  mahusiano  ya kimapenzi  au ndoa  na  single  mothers.  

Maoni  haya  yamechukuliwa  kutoka  kwa  wanaume  mbalimbali  wa  hapa    Tanzania  na  waliopo  nje  ya  Tanzania.  Baadhi  ya  mambo  yanayo semwa  na  wanaume  hawa  kuhusu  kuingia  katika  mahusiano  ya  kimapenzi  au  ndoa na  single  mothers  yanatisha  na  kuogopesha   sana. 

 Ni  vyema  kila  single  mother ambae  anafikiria  kuingia  katika  mahusiano  ya  kimapenzi  au  kuingia  katika  ndoa  na  mwanaume  ambae  si  baba  wa  mtoto  wake  ayafahamu  mambo  haya.

Kusoma  zaidi  makala  haya tembelea Kwa kubofya hapo chini :



Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger