Na.Amiri kilagalila Mkuu wa Wilaya ya Njombe Ruth Msafiri ameshiriki katika ibada ya kuhitimisha mfungo na Maombi yakuombea mkoa wa Njombe yaliyofanyika kwa wiki moja katika kanisa la Tanzania Assemblies of God T.A.G lililopo mtaa wa Melinze halmashauri ya mji wa Njombe mkoani humo. Akiwa katika ibada hiyo Msafiri amewataka wakristo mkoani Njombe kuendelea kuombea mkoa wa Njombe kutokana na matatizo ya mauaji ya watoto yaliyojitokeza hivi karibuni huku akiwataka kuto kusahau kuombea maswala ya uchumi na familia kwa ujumla. “Naendelea kuwategemea sana watu wa Mungu hatutafika bila kuinua uchumi…
0 comments:
Post a Comment