
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Askari
wa Kikosi cha Zimamoto Jijini Mbeya, akiendelea na jitihada za kuuzima
moto unaoendelea kuwaka na kuteketeza Mabweni ya shule ya Sekondari
Iyunga jijini humo, chanzo cha moto huo bado hakijajulikana mpaka sasa,
na jitihada za kuuzima zinaendelea.
Kikosi cha...