INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Taarifa zilizo tufikia hivi punde zinadai jengo jipya la bodi ya mikopo
lililo maeneo ya Mwenge jjini Dar es salaam limewaka moto, taarifa hiyo inasema wafanyakazi wa Zima moto walijaribu kuuzima
moto huo ambao umeshaunguza baadhi ya vyumba vya maofisi.
Wanafunzi wa elimu ya juu hasa hawa walioomba vyuo mwaka huu 2014/2015 wameshtushwa na taarifa hii kwani wanahofia uwezekano pia wa kupotea kwa documnts zao ambazo walikuwa wameshaomba mkopo.