Saturday 30 November 2019

Gari la Coastal Union Likiwa na Mashabiki Walioenda Kumshangilia Bondia Mwakinyo Lapata Ajali

...
Gari la Coastal Union iliyokuwa imebeba mashabiki kutoka Tanga ambao walienda Dar kumuunga mkono Bondia Mwakinyo limepata Ajali kwa kugongana na lori maeneo ya Bunju ikitokea Dar kurudi Tanga. 

Kwa Mujibu wa Mganga Mkuu Bagamoyo,Dkt Azizi Msuya, majeruhi walikuwa zaidi ya kumi na sita lakini kumi ndio walikuwa na hali mbaya, kati ya hao wawili wamefariki, sita wamepata huduma ya kwanza na wameomba wakatibiwe zaidi Bombo, wawili wamepata rufaa kwenda Muhimbili, na wengine wanaendelea vizuri


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger