Monday, 7 October 2019

Michael Wambura Aachiwa Huru

...
Aliyekuwa Makamu wa Rais wa (TFF), Michael Wambura amebadilishiwa mashtaka na kukabiliwa na shtaka moja la kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu na amechiwa kwa makubaliano ya kulipa shilingi milioni 100 na laki tisa kwa awamu tano ambapo leo amelipa milioni 20,249,531


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger