Tuesday 29 October 2019

Heri Ya Kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli

...
Leo Oktoba 29, 2019, Rais Magufuli anasherehekea kumbukizi ya siku yake ya kuzaliwa. 

Rais Magufuli alizaliwa tarehe kama ya leo Oktoba 29, 1959 na ametimiza miaka 60, tunamtakia afya njema na Mungu azidi kumuongoza katika majukumu yake.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger