Sunday 31 July 2016

Mkutano wa Rais Magufuli, Kahama: James Lembeli Atangaza kurejea CCM

...
Katika hali inayoshangaza wapenzi na mashabiki wengi wa CHADEMA ni pale aliyekuwa mgombea Ubunge kupitia CHADEMA ameonekana katika mkutano wa CCM unaoendelea hapa mjini Kahama.

Wadadisi wa masuala ya kisiasa hapa Kahama wanadai kiongozi huyo aliyejizolea umashuhuri mkubwa enzi za uongozi wake kwa sasa mambo yake yamekwenda mrama hivyo njia nyepesi ni yeye kutubu na kurejea nyumbani kwao waliko mababu zake

image.jpeg
 
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger