Sunday 31 July 2016

Pichaz: Waziri Nape, Lowassa, Mbowe walivyoshiriki kuuaga mwili wa marehemu Senga

...

July 31 2016 mwili wa marehemu Mwanahabari Joseph Senga umeagwa Dar es salaam leo kuelekea Mwanza kwa ajili ya maziko, baadhi ya viongozi wa serikali na siasa wameshiriki wakiwemo Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye, Waziri mkuu wa zamani Edward Lowassa na wengine.
Marehemu Joseph Senga ndiye mpiga picha aliyenasa tukio la mauaji ya Mwandishi wa habari wa kituo cha talevisheni CHANEL 10 Daud Mwangosi kilichotokea  September 2 2012 katika kijiji cha Nyololo, Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa ambaye alifariki July 28 2016 akiwa India kwa matibabu ya ugonjwa wa moyo.
Ninazo picha kadhaa kutokea Sinza Dar es salaam ambapo ndipo kazi yote ilifanyika
33
Waziri wa habari, utamaduni, sanaa na michezo Nape Nnauye
2X6A0690 copy
Kutoka kushoto Edward lowassa, Nape Nnauye na Freeman Mbowe
5
Mke wa marehemu Joseph Senga (aliyevaa ushungi)
22
WhatsApp Image 2016-07-31 at 13.50.06
WhatsApp Image 2016-07-31 at 13.50.10
Wapigapicha na wanachama wa Press Photographer wakishiriki kubeba jeneza la marehemu
Hii hapa chini ni moja ya picha yake enzi za uhai
uhai
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger