Sunday 16 May 2021

SIMBA SC YAAMBULIA KICHAPO CHA MAGOLI 4 - 0 AFRIKA KUSINI

...

Klabu ya Simba imepokea kichapo cha mabao 4-0 na wenyeji, Kaizer Chiefs katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika leo Uwanja wa FNB Jijini Johannesburg, Afrika Kusini. 

Mabao ya Kaizer Chiefs yamefungwa na Eric Molomowanadou Mathoho dakika ya sita, Samir Nurkovic dakika ya 34 na 57 na David Leonardo Castro Cortés dakika ya 63.

Sasa Simba SC watatakiwa kushinda 5-0 katika mchezo wa marudiano Jumamosi ya wiki ijayo ili kwenda Nusu Fainali kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1975.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger