Sunday 30 May 2021

RAIS SAMIA AMTEUA AZZA HILAL HAMAD KUWA KATIBU TAWALA WA MKOA WA SIMIYU

...

Azza Hilal Hamad
***
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala Mikoa. Miongoni mwa walioteuliwa ni aliyewahi kuwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Shinyanga Azza Hilal Hamad ambaye ameteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Simiyu. Lakini pia aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga , Albert Msovela amehamishiwa mkoa wa Mara huku  Balozi Batilda Salha Buriani akiteuliwa kuwa Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga. Balozi Batilda amewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Kenya na Japan


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger