Saturday 29 May 2021

IGP Sirro Awataka Askari Polisi Kutenda Haki

...


Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro amewataka askari kuhakikisha wanaendelea kutenda haki kwa wananchi wanaowahudumia na kushirikiana nao katika kuzuia na kupambana na uhalifu nchini.

IGP Sirro amesema hayo Dar es salaam, wakati akizungumza na baadhi ya wananchi  wa eneo la Kawe wilaya ya Kinondoni ambapo aliwataka wananchi kuacha kutoa rushwa kwani kitendo hicho ni kinyume na sheria za nchi.

Aidha, IGP Sirro ameendelea kuwasisitiza viongozi wa serikali hasa watendaji wa kata na wenyeviti wa serikali za mitaa kuwashirikisha wananchi katika vikundi ya ulinzi shirikishi ili maeneo yao yaendelee kuwa salama.


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger