Saturday 15 May 2021

RAIS SAMIA AMTEUA ACP SALUM RASHID HAMDUNI KUWA MKURUGENZI MKUU WA TAKUKURU....AMKUMBUKA MAKONGORO NYERERE

...

Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Salum Rashid Hamduni
Makongoro Nyerere

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo amefanya uteuzi wa wakuu wa mikoa na Watendaji wakuu wa taasisi mbalimbali ambapo kati yao amemteua Bwana Makongoro Nyerere kuwa Mkuu wa Mkoa wa Manyara na Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Salum Rashid Hamduni kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) akichukua nafasi ya Brigedia Jenerali John Mbungo ambaye atapangiwa majukumu mengine.

Soma Majina ya Wakuu wa Mikoa na Watendaji Wakuu wa Taasisi Mbalimbali walioteuliwa leo.
Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger