Sunday 13 July 2014

UHOLANZI YASHIKA NAFASI YA 3 KOMBE OLADUNIA BAADA YA KUISMABARATISHA BRAZIL KWA MAGOLI 3-O

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Wachezaji wa Uholanzi wakipozi na medali zako baada ya kushika nafasi ya tatu Kombe la Dunia 2014.
Share:

Saturday 12 July 2014

UHAMISHO WA WATUMISHI WA SERIKALI ZA MITAA MWEZI JUNI 2014 -WATUMISHI 3733 WAHAMISHWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA WAZIRI MKUU 
                 
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
                                                            TANGAZO:
Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI inatangaza orodha ya Majina 3,733 ya watumishi wa Umma waliohamishwa katika Mamlaka za Serikali za mitaa nchini,Aidha orodha ya watumishi 112 ambao hawakukidhi vigezo vya kuhama nayo imetangazwa.
Share:

MAJINA WANAFUNZI WAPYA KIDATO CHA TANO NA MABADILIKO YA SHULE WALIZOPANGIWA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
                                                        
KUBADILISHA SHULE NA TAHASUSI KWA WANAFUNZI WA KIDATO CHA TANO 2014
Taarifa ya uchaguzi wa wanafunzi wa kuingia kidato cha Tano katika Shule za Serikali na Vyuo vya Ufundi kwa mwaka 2014 ilitangazwa kupitia Ofisi ya Waziri Mkuu TAMISEMI mwezi Juni, 2014. Wanafunzi waliochaguliwa awali walitakiwa kuripoti kuanzia tarehe 10 – 30/7/2014 .
Baada ya taarifa ya Uchaguzi wa wanafunzi kutolewa, baadhi ya wanafunzi/wazazi/walezi wamewasilisha barua za maombi ya kuwabadilishia wanafunzi waliochaguliwa shule na tahasusi au mojawapo ya hivyo. Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI baada ya kupokea imechambua maombi hayo na kubaini kuwa sababu zilizotolewa kwenye baadhi ya maombi hayo zina tija na hivyo kulazimika kuridhia kuwabadilishia shule, tahasusi au vyote kwa pamoja baadhi ya wanafunzi hao.
Share:

MOROGORO :MTOTO AFICHWA UVUNGUNI KWA MIAKA 6

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Wakati jamii ikiwa bado haijasahau mateso aliyoyapata mtoto Nasra Mvungi na kusababisha  kifo chake, tukio lingine la aina hiyo limetokea katika Kijiji cha Matongola, Tarafa ya Magole Wilaya ya Kilosa, baada ya kubainika mtoto wa miaka sita akiwa amefichwa uvunguni mwa kitanda na kufanyiwa vitendo vya kikatili na mama yake mzazi. 
Share:

FIFA :YATAJA WACHEZAJI 10 WANAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA WA KOMBE LA DUNIA 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Orodha kamili:
Kiungo wa timu ya taifa ya Argentina, Ángel Fabián Di María Hernández.
Share:

ANGALIA ZIARA YA MH.PINDA UINGEREZA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunu  (kulia) wakiongozana na Madona Pemba (kushoto) , mtanzania aishie Uingereza kuelekea kwenye ukmbi wa mikutano  ili kuzungumza na watanzania waishio Reading.
Share:

PICHA ZIKIMWONESHA JINI KABULA NA VIMINI RAMADHANI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

STAA wa sinema za Kibongo, Miriam Mjolwa ‘Jini Kabula’ amecharuka baada ya kukosolewa juu ya mavazi ya mitego, vimini, anayovaa ndani ya mwezi wa Ramadhani.
Share:

ANGALIA MATOKEO NA WAFUNGAJI WA MECHI ZOTE ZA KOMBE LA DUNIA LA MWAKA 2014 NCHINI BRAZIL

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

8th July 2014 World Cup 2014

24

5th July 2014 World Cup 2014

9 10

4th July 2014 World Cup 2014

Share:

KAJALA AFUNGUAKA,ASEMA KUWA RAFIKI YAKE WEMA NI MNAFIKI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

STAA wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja ameibuka na kusema kuwa ushosti wake na Miss Tanzania 2006/07, Wema Sepetu, uliorudishwa hivi karibuni baada ya kuwekana sawa ni wa kinafiki huku akidai Wema ni kigeugeu.
Share:

AJALI YA BASI LINDI:WATU 21 WAJERUHIWA KATIKA AJALI YA BASI KIJIJI CHA MCHINGA, LINDI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

MPENZI WA ZAMANI WA DIAMOND ,PENY ACHUMBIWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mtangazaji wa kipindi cha Genge cha EFM Radio, Penniel Mwingilwa 'VJ Penny'.
Share:

Friday 11 July 2014

MAJINA YA WAOMBAJI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA CHUO CHA MISITU OLMOTONYI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                                        Parks & Reserves
Mkuu wa Chuo cha Misitu Olmotonyi, Arusha anayo furaha kuwataarifu wafuatao kuwa wamechaguliwa kujiunga na Chuo cha Misitu Olmotonyi, Arusha kwa udhamini wa binafsi, Wakala wa Huduma za Misitu na Mradi wa ECOPRC kwa mafunzo ya
Share:

DAKTARI FEKI ANASWA HOSPITALI YA RUFAA MORO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Askari Polisi wakimtoa nje daktari feki, Karume Habibu (22) kutoka kwenye ofisi ya Mganga Mkuu wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro ambako alihojiwa kabla ya kupelekwa Kituo Kikuu cha Polisi kwa mahojiano zaidi.
Daktari feki akielekea kwenye gari.
Share:

SERIKALI YA TANZANIA YATANGAZA NAFASI ZA KAZI 1,324

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY




Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inawatangazia Watanzania  wenye sifa na uwezo kujaza jumla ya nafasi wazi za kazi 1,324 ambazo ni  kwa ajili ya waajiri mbalimbali Nchini.
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Bw. Xavier Daudi amesema kuwa nafasi 1,334 zimeainishwa bayana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira ambayo ni www.ajira.go.tz  ili kuwawezesha wahitimu wote wenye sifa na uwezo kutuma maombi kwa ajili ya kujaza nafasi hizo ajira Serikalini.
"Nadhani ni vizuri zaidi kwa kila muhitimu anayetafuta kazi serikalini kufungua tovuti ya Sekretarieti ya Ajira kuangalia nafasi za kazi zilizotangazwa na pale anapoiona kazi inayoendana na sifa alizonazo kutuma maombi yake ili kuweza kushindanishwa na wengine....maana ajira za Serikali hivi sasa ni za ushindani hivyo inampasa kila anayetaka kupata kazi serikalini kujiandaa vyema ili kujiweka katika nafasi nzuri zaidi ya kuajiriwa katika Utumishi wa Umma" alisema Daudi.
Alifafanua kuwa kwenye tovuti hiyo kuna matangazo mawili tofauti ya kazi ambapo moja liko katika lugha ya Kingereza likiwa na jumla ya nafasi za kazi 447 na tangazo lingine lipo kwa lugha ya Kiswahili ambalo lina jumla ya nafasi za kazi 877.
Aidha, alizitataja baadhi ya nafasi hizo za kazi zilizoko katika tangazo la kazi kwa lugha ya Kiswahili kuwa ni Mhandisi kilimo (agro–engineers), Afisa kilimo (agro–officers) Mkufunzi kilimo (aquaculture), Afisa kilimo msaidizi (agricultural field officers), Daktari wa mifugo (veterinary officers), Daktari utafiti mifugo (veterinary research officer), Daktari mifugo mkufunzi (veterinary tutor), Mkufunzi mifugo (animal science), Afisa mifugo (live stock officer), Afisa utafiti mifugo (livestock research officer), Afisa Utumishi (human resources officer), Afisa ardhi msaidizi, Dereva (driver).
Share:

AJALI YA BASI: BASI LA AMANI LAPATA AJALI MAENEO YA SALANDA MKOANI TABORA, MTOTO MMOJA AFARIKI DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Basi la Amani Express likitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam limepata ajali usku wa kuamkia leo maeneo ya Salanda mkoani Tabora, ambapo mtoto wa miaka mitatu amepoteza maisha na abiria kadhaa wamepata majeraha. Mashuhuda wanahisi kuwa chanzo cha ajali hiyo ni mwendo kasi. Pichani abiria wakitafuta vitu vyao 
Share:

MUDA WA NYONGEZA KWA WAOMBAJI MIKOPO AMBAO HAWAKUJAZA FOMU ZA MAOMBI YA MIKOPO KABLA YA JUNI WAONGEZWA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inawafahamisha waombaji wa mikopo kwa mara ya kwanza na Umma kwa ujumla kwamba muda wa maombi ya mikopo umeongezwa kwa mwezi mmoja kutoka Julai 1, 2014 hadi Julai 31, 2014.
Bodi ilianza rasmi kupokea maombi ya mikopo kwa njia ya mtandao kuanzia Aprili 23, 2014 ambapo tarehe ya mwisho wa kupokea maombi hayo ilikuwa Juni 30, 2014.
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu imetoa muda wa nyongeza kwa waombaji wa mikopo kukamilisha maombi ya mikopo katika kipindi cha siku 30, kupitia mtandao kwa anuani: http://olas.heslb.go.tz
Share:

NYOTA SANCHEZ ATUA ARSENAL, KULAMBA PAUNI 140,000 KWA WIKI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Nyota mpya wa Arsenal, Alexis Sanchez akiwa ndani ya 'uzi' mpya.
MSHAMBULIAJI mahiri wa Chile na Barcelona, Alexis Sanchez, amejiunga na Klabu ya Arsenal kwa pauni milioni 30 na mkataba wa miaka miaka minne.
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO IJUMAA TAREHE 11/7/2014 KUBWA,JANUARYA ASISITIZA NIA YAKE YA KUGOMBEA URAIS

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

WAZIRI MH.MAKALA AWA MBOGO BAADA YA KUAMBIWA KAKWEPA KODI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

NAIBU Waziri wa Maji, Mheshimiwa Amos Makalla amegeuka mbogo kufuatia madai ya kukwepa kodi kupitia gari analodaiwa kulimiliki aina ya Toyota Dyna lililokamatwa na maofisa
Share:

MASKINI MSANII SNADRA:AKUMBUKIA MACHUNGU YA KAOLE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

POMBE YAVURUGA FUTALI YA DIAMOND PLATINUM


Share:

SERIKALI YA TANZANIA YATANGAZA NAFASI ZA KAZI 1,100 NYINGINE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Na Frederick Katulanda, Mwananchi
Serikali kupitia Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma imetangaza nafasi za kazi 1,134 katika sekta mbalimbali za ofisi za umma.
Share:

MBUNGE MH. SHIBUDA NOMA,AWACHANA LIVE WASUKUMA,AWATAKA KUACHANA NA DHANA YA "NDUHU TABHU" KWA KILA JAMBO,SIKILIZA HAPA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Mlezi wa chama cha wakulima wa pamba nchini na msemaji wa wabunge wanaotoka katika mikoa inayolima zao la pamba nchini,mbunge wa Maswa Magharibi kupitia Chadema mheshimiwa John Shibuda amewapigia filimbi wasukuma kwa kuwataka kuamka na kueleza wazi wazi matatizo yanayowakabili badala ya kukaa kimya na kusema hakuna tatizo(Nduhu Tabhu” wakati kuna tatizo linawasumbua.
Share:

MH RAIS:KILA HALMASHAURI KUPATIWA SH MIL 500 KWA AJILI YA UJENZI WA NYUMBA ZA WALIMU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

 
Rais Jakaya Kikwete amesema serikali imetenga kwa kila halmashauri ya wilaya nchini kupatiwa shilingi milioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba za walimu ili kuwapunguzia adha na usumbufu walimu wanapopangiwa kwenda katika vituo vya kazi wanakosa mahali pa kuishi.
Share:

Thursday 10 July 2014

FUMANIZI :JIBABA LADAKWA LAIVU LIKIMLA URODA MWANAFUZNI, TENA NDANI YA GARI LAKE KWEUPE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY



Hiki ndicho kilichomkuta jibaba hili Baada ya kunaswa akila Uroda na mwanafunzi
Share:

SOMA MAGAZETI YA LEO-ALHAMISI,KUBWA "JK AONGELEA KAULI YA JANUARY MAKAMBA KUGOMBEA URAIS 2015"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:

AOZA MGUU BAADA YA KUPATA AJALI-ANAOMBA MSAADA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
AMA kweli ng’ombe wa maskini hazai, kijana Peter  Sitiwati (26), mkazi wa Sinza ya Kwaremmy jijini Dar amejikuta akikatisha ndoto za utafutaji maisha kufuatia kuoza mguu baada ya ajali mbaya ya gari.
Akizungumza na mwandishi wetu jijini Dar juzikati kwa sauti ya kukata tamaa, Peter alisema alipata ajali ya gari mwaka 2013 maeneo ya Sinza-Mori, Dar na kuumia vibaya mguu wa kulia.

kijana Peter  Sitiwati akiwa na maumivu makali yaliyosababishwa na kuoza kwa mguu.
’’Baada ya kugongwa na gari niliangukia mtaroni nikachomwa na kijiti kwenye mguu wa kulia.
Share:

ROSE NDAUKA:ASEMA KUWA SASA NI KAZI TU,NI BAADA YA KUMALIZA BIFU NA JACK CHUZI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

STAA wa filamu Bongo, Rose Ndauka  amefunguka kuwa kwa sasa yeye na msanii mwenzake, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’  ambaye aliwahi kukwaruzana naye wameshamaliza na kujikita katika kazi zaidi.
Share:

HIZI NDO SABABU ZA MUME KUMCHINJA MKEWE,KUBWA NI KUTOKANA NA "WIVU WA MAPENZI"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha linamsaka kwa udi na uvumba, muuza nyama jijini hapa, Lucas Lomayany Molel (37) mkazi wa Ilboru kwa madai ya kumuua mkewe wa ndoa, Agnes Lucas (24) kwa kumcharanga na sime kwa kile kinachoelezwa kuwa ni kutokana na wivu wa mapenzi.
Share:

KOMBE LA DUNIA:HATIMAE FAINALI NI GERMANY(TEAM MULLER) VS ARGENTINA(TEAM MESSI)

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kipa wa Argentina Sergio Romero alikuwa Nyota wa mechi hiyo
Argentina imejukatia tikiti ya kufuzu kwa fainali yake ya kwanza tangu mwaka wa 1990 ambapo itachuana Ujerumani.
Argentina ilikuwa imetoka sare tasa baada ya muda wa kawaida na ule wa Ziada na hivyo kulazimu mechi hiyo kuamulia kwa mikwaju ya penalti.
Kipa wa Argentina Sergio Romero ndiye aliyekuwa nyota katika mechi hiyo baada ya kuokoa mikwaju miwili na kuipa Argentina Ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya Uholanzi.
Share:

BABA KANUMBA AMCHANA MKEWE,AMWAMBIA AACHE NJAA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
“Namshangaa mama Kanumba…
BABA wa aliyekuwa msanii maarufu wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba ameibuka na kumtaka mama Kanumba, Flora Mtegoa kuacha tabia ya kuombaomba michango mbalimbali.
Share:

40 YA MSANII TYSON MAMA AKE AUGUA GHAFLA,SOMA HAPA NINI KIMETOKEA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Na Mwandishi Wetu
WAKATI jana, Julai 9, 2014 George Otieno Okumu ‘Tyson ametimiza siku 40 tangu kifo chake kilichotokea kwa ajali mbaya ya gari mkoani Dodoma, mama mzazi wa marehemu, Gladys Okumu ameripotiwa kuugua ghafla nchini Kenya anakoishi.
Share:

DIAMOND PLATNUM AMLIZA MAMA AKE MZAZI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Stori: Waandishi Wetu
STAA wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ amefanya tukio la kihistoria kiasi cha kumliza mama yake mzazi, Sanura Kassim ambaye alimwaga machozi kama mtoto mbele za watu.
Tukio la mama Diamond kumwaga machozi lilishuhudiwa na kamera za Amani, juzi Jumatatu, mishale ya saa mbili usiku nyumbani kwake, Sinza jijini Dar es Salaam ambako kulikuwa na ‘bethidei’ ya mama huyo.
Share:

SEKREATIETI YA AJIRA:MATOKEO YA MCHUJO ULIOFANYIKA TAREHE 8 JULAI 2014

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
        MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO WA TAREHE 8
                                      JULAI 2014



EXAMINATION RESULTS FOR RESEARCH ASSISTANTNCC
Usaili wa mahojiano utafanyika tarehe 9/7/2014 SAA MOJA KAMILI ASUBUHI. 
katika OFISI ZA NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL (NCC)
NB: WASAILIWA WANATAKIWA KUZINGATIA MUDA NA SEHEMU ILIYOTAJWA KWA AJILI YA USAILI NA KUJA NA VYETI HALISI (ORIGINAL CERTIFICATES).
Na.    EXAMINATION NUMBER      SCORE   REMARKS
1       PSRS RESE ASS NCC - 121         80     SELECTED
2       PSRS RESE ASS NCC - 118         73     SELECTED
3       PSRS RESE ASS NCC - 124         73     SELECTED
4       PSRS RESE ASS NCC - 128         66     SELECTED
Share:

Wednesday 9 July 2014

WANAFUNZI MKOANI MBEYA WAANDAMANA HADI KWA MKUU WA MKOA KWA KUKOSA NAFASI KIDATO CHA TANO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

WAHITIMU 39 wa kidato cha nne mwaka jana katika Shule ya Sekondari Karobe jijini hapa wakiwa na wazazi wao, jana waliandamana hadi ofisi za Mkuu wa Mkoa ili kujua hatma yao baada Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi kushindwa kuwapangia nafasi za kujiunga kidato cha tano licha ya kufanya vizuri katika mitihani yao.
Share:

KIONGOZI WA MBIO ZA MWENGE AFUNGUA BWENI LA WASICHANA-NAMTUMBO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Kiongozi wa mbio za mwenge RACHEL KASSANDA
Kiongozi wa mbio za mwenge RACHEL KASSANDA, amefungua bweni la wasichana la shule ya sekondari MSINDO na kuweka jiwe la Msingi katika majengo ya vyumba vinne vya madarasa na Maabara moja katika shule ya Sekondari RWINGA wilayani NAMTUMBO mkoani RUVUMA.
Share:

MASHABIKI WA BRAZIL WACHOMA BASI MOTO BAADA YA KIPIGO CHA 7-1

Basi lililochomwa na mashabiki wa Brazil waliokuwa na hasira likiteketea kwa moto.
Share:

WANAFUNZI WAFUNGWA JELA MIAKA 6 KWA MAUAJI YA MWALIMU WAO MKOANI SINGIDA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Vijana wawili waliokuwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chemchem wilayani Mkalama katika Mkoa wa Singida, wamehukumiwa kifungo cha miaka sita kila mmoja baada ya Mahakama kuwatia hatiani kwa kosa la mauaji ya mwalimu wao.
Share:

UJERUMANI YAWEKA HISTORIA:NI BAADA YA KUIFUNGA BRAZIL GOLI 7-1 NUSU FAINALI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
André Horst Schürrle (katikati) akifurahia na wachezaji wenzake wa Ujerumani baada ya kufunga bao la saba dhidi ya Brazil.
Share:

MASTAA WA BONGO MOVE WASUSA 40 YA JAPANESE

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Stori: Mwandishi wetu
MWANAMUZIKI aliyefariki dunia, Amina Ngaluma maarufu kama Japanese alifikisha siku 40 tokea azikwe Jumamosi iliyopita, lakini katika kisomo kilichosomwa nyumbani kwao Kitunda, hakuna staa yoyote wa muziki wa dansi aliyehudhuria.
Share:

WASANII Masogange, Wema, AuntEzekiel,Nagris, Hamisa, Dj Fetty Wakiwa Ndani Ya Hijabu Angalia Picha Zao

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Share:

MCHEZAJI WA UJERUMANI MIROSLAV KLOSE AWEKA HISTORIA KOMBE LA DUNIA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Miroslav Josef Klose akishangilia baada ya kutupia bao la pili kwa Ujerumani usiku huu na kuvunja rekodi ya kupachika mabao.
Klose wakati akifunga bao lake la 16 katika michuano ya kombe la dunia.
Mkali wa mabao Miroslav Josef Klose.
MSHAMBULIAJI wa Ujerumani na timu ya Lazio ya Italia, Miroslav Josef Klose, ameweka historia usiku huu baada ya kutupia bao lake la 16 na kuwa mfungaji wa mabao mengi katika michuano ya Kombe la Dunia iliyoanza mwaka 1930 ambayo kwa sasa inaendelea nchini Brazil.
Klose ameifungia Ujerumani bao la pili wakati ikitoa kichapo cha mabao 7-1 dhidi ya Brazil katika mechi ya nusu fainali ya Kombe la Dunia 2014.
Klose alifunga mabao matano katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2002 na 2006, akatupia manne huko Afrika Kusini mwaka  2010 na mpaka sasa huko Brazil tayari amefunga mabao mawili moja dhidi ya timu yake na Ghana wakati la pili dhidi ya Brazil leo.
Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 36 amempiku mshambuliaji wa Brazil, Ronaldo Luís Nazário de Lima aliyekuwa na mabao 15.
Wachezaji wengine waliowahi kufunga mabao zaidi ya 11 kwenye michuano hiyo ni: Gerd Muller wa Ujerumani 14, Just Fontaine wa Ufaransa 13, Pele wa Brazil 12, Jurgen Klinsmann wa Ujerumani 11 na Sandor Kocsis wa Hungary 11.
Share:

Tuesday 8 July 2014

WATU WAWILI WAMEKUFA KATIKA AJALI ILIYOTOKEA MKOANI PWANI LEO HII

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY

Watu wawili wamekufa katika ajali ya barabarani iliyotokea leo katika kijiji cha kwang’andu kata ya mbwewe mkoani PWANI.
Share:

KOCHA WA TIMU YA TAIFA YA ALGERIA VAHID HALILHODZIC AJIUZULU

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Vahid Halilhodzic
Kocha wa Algeria Vahid Halilhodzic amejiuzulu licha ya ombi la binafsi kutoka kwa rais Abdelaziz Bouteflika akimsihi asijiuzulu.
Share:

NUSU FAINALI KOMBE LA DUNIA-BRAZIL KUMKOSA SILVA NA NEYMAR

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY


Mlinzi wa Brazil Thiago Silva (Kushoto) na Mshambuliaji Neymar(kulia)
Mlinzi wa Brazil Thiago Silva hatocheza katika mechi ya kwanza ya nusu fainali dhidi ya Ujerumani Jumanne .

Share:

DOWNLOAD NA SIKILIZA VIDEO MPYA YA BUM BUM-DIAMOND PLATINUMZ

&&
INNOCENT-THE BLOGGER-BOY
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger