Tuesday, 5 May 2015

YANGA KUKABIDHIWA KOMBE LA LIGI KUU 2014/2015 KESHO

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY VPL KUENDELEA KESHO Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara inatarajiwa kuendelea kesho kwa mchezo mmoja utakaopigwa katika dimba la Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, wenyeji timu ya Azam FC watawakaribisha Mabingwa wapya wa ligi hiyo msimu huu timu ya Young...
Share:

UPDATES:MADEREVA WAMALIZA MGOMO SAA 7 MCHANA HUU,ABIRIA WA MWANZA,KIGOMA NA MUSOMA WAANZA SAFARI,TRAFKI WAZUIWA KUSIMAMISHA MABASI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY   Madereva wametangaza kumaliza mgomo baada ya kufikia muafaka na Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda na kuundwa kwa kamati itakayosimamia matatizo ya madereva na kutoa taarifa baada ya siku saba. Read more ...
Share:

Mgomo wa Madereva: Milio ya Risasi na Mabomu Yarindima Stendi Kuu ya Mabasi Ubungo Dar

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Jeshi la Polisi limelazimika kutum...
Share:

Monday, 4 May 2015

Chadema yamng’ang’ania JK kuhusu Uchaguzi Mkuu

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Viongozi wa Chadema wakiomba dua kabla ya kuanza kwa kikao...
Share:

ESTER KIAMA AFUNGUKA: JAMANI MASTAA ACHENI KUIBA WAUME ZA WATU!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Funguka! Mwanadada mwenye mvuto wa aina yake katika kiwanda cha filamu Bongo, Ester Kiama ameibuka na kuwachana mastaa wa kike wanaopenda kuiba waume za watu kwamba waache kwani si tabia nzur...
Share:

MPYA:'MAMA ATUPA MTOTO ,KISA UGOMVI WA KIMAPENZI"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Binadamu wamepoteza utu! Mwanamke mjamzito aliyefahamika kwa jina la mama Janeth, mkazi wa Kimara-Suka jijini Dar anadaiwa kujifungua kisha kukiweka kichanga kwenye begi...
Share:

GOLD-DIGGER:"WEMA MREMBO KULIKO ZARI"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Kumbe! Imebainika kuwa maneno ‘gold digger’ katika ulimwengu wa fursa yanamaanisha kuwa ni mtu anayeona fur...
Share:

MGOMO WA MADEREVA:madereva ‘wasimama’ nchi washinikiza wakutane na Wazri Mkuu Pinda kumaliza mgomo wao!

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Baadhi ya madereva wa mabasi katika stendi kuu ya Mabasi...
Share:

MVUA ILIYONYESHA KWA MASAA MAWILI YABOMOA NYUMBA 80 HUKO KITETE,

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Nyumba kadhaa zimeboka  na nyingine   80  kujaa maji  kufuatia...
Share:

NYUMBA 150 ZAVUNJWA NA SERIKALI WILAYA YA ILALA,SASA HAWANA PA KUISHI

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Wakazi wa nyumba zaidi ya mia moja na hamsini zilizokamilika na...
Share:

AUDIO[rmx] | Ben Pol - Sophia KWAITO | Download

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY ...
Share:

TAARIFA KAMILI KUHUSU KUPANDA KWA (PESA YA CHAKULA) BOOM KWA WANAFUNZI WA VYUO VIKUU 2015

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY                         Baada ya kupost habari hiyo kuhusu kupanda kwa boom la wanafunzi wa elimu ya juu ,wanafunzi na watu wengi wamekuwa...
Share:

SOMA:"MAGAZETI YA LEO JUMATATU MAY 04,2015"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY...
Share:

Sunday, 3 May 2015

CHELSEA ,MABINGWA WAPYA WA LIGI KUU YA UINGEREZA EPL 2014/15

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY...
Share:

NEWS:"VIGOGO WATATU TANESCO WASIMAMISHWA KAZI"

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Waziri wa nishati na madini Mh.George simbachawene ameagiz...
Share:

Ajali Mbeya: "Basi la Gold Express Mbeya- Dodoma lagongana na Lori Asubuhi hii." WATATU WAPOTEZA MAISHA

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Ajali imetokea mapema asubuhi hii basi tajwa hapo juu,Lilikuwa likitokea Mbeya kwenda Dodoma, limepata ajali kwa kugongana ...
Share:

SERIKALI KUPTIA BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU KUSOMESHA WANAFUNZI WA MASTERS NA PHD 2015/2016

INNOCENT-THE BLOGGER-BOY Mwaka ujao wa masomo 2015/16 bodi ya mikopo itatoa mikopo kwa wanafunzi wa masters. Ili ufadhiliwe masomo yako ya post graduate na Bodi ya mikopo inakubidi uwe na sifa zifuatazo...
Share:
Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger