
“Siyo kwamba sijawahi kuwa na mume wa mtu, nilishawahi lakini nimetokea kuwachukia sana kwani hawana faida zaidi ya kuwapotezea wasichana muda wao, nimejifunza mengi na sitarudia tena hivyo nawasihi wenzangu waache kuiba waume za watu kwani watarogwa tu,” alisema Ester.
BONYEZA HAPO CHINI KUANGALIA PICHA ZAIDI ZA MWANA DADA HUYU
0 comments:
Post a Comment