Saturday, 5 April 2025

Picha : MKUTANO MKUU WA KLABU YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA SHINYANGA 'SPC' 2025

...
Klabu ya Waandishi wa Habari Mkoa wa Shinyanga (Shinyanga Press Club -SPC) imefanya Mkutano Mkuu wake leo Jumamosi Aprili 5, 2025 ukihudhuriwa na wanachama viongozi wa vyombo vya habari na wageni waalikwa.

Katika mkutano huo, masuala ya uendeshaji wa klabu, tathmini ya mwaka uliopita na mipango ya maendeleo ya mwaka huu yanajadiliwa kwa kina lengo likiwa ni kuimarisha mshikamano na malengo ya kulinda maslahi ya wanahabari mkoani Shinyanga. 

Picha zote na Kadama Malunde

Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger