Friday, 21 August 2020

Shule 10 Bora Matokeo Kidato Cha Sita 2020

...
Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2020.

Matokeo hayo yametangazwa leo Ijumaa 21 August 2020 na Katibu Mtendaji wa NECTA, Dr Charles Msonde

Katika shule 10 bora kitaifa kwenye matokeo hayo, 8 ni za serikali na 2 ni za binafsi


Share:

Related Posts:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © 2025 MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger