Monday 31 August 2020

Tangazo La Nafasi Za Masomo Chuo Kikuu Kishiriki Cha Kumbukumbu Ya Stefano Moshi (SMMUCo)

...
TANGAZO LA NAFASI ZA MASOMO
Chuo Kikuu Kishiriki cha Kumbukumbu ya Stefano Moshi (SMMUCo) kilichopo Moshi pamoja na Taasisi yake tanzu ya Masoka Professionals Training Institute (MPTI) kinatangaza nafasi za masomo kwa mwaka 2020/2021 katika ngazi ya:-

SHAHADA
1. Bachelor of Arts in Community Development
2. Bachelor of Accounting and Finance
3. Bachelor of Arts with Education
 
ASTASHAHADA (CHETI) NA STASHAHADA (DIPLOMA)
1. Law
2. Information Technology
3. Accounting and Finance
4. Mass Communication
5. Community Development
6. Business Administration
7. Human Resource Management
8. Procurement and Supply
9. Tour guiding and Tourism
10. Office Management and Secretarial
11. Journalism
12. Records and Archives Management
13. Theology
 
SIFA ZA MWOMBAJI
Kozi za Cheti: Mwombaji awe amehitimu kidato cha nne ufaulu wa alama D nne na kuendelea isipokuwa somo la Dini.
 
Stashahada (Diploma): Mwombaji awe amemaliza kidato cha sita na awe na Principal Pass moja na subsidiary moja isipokuwa somo la dini AU awe amehitimu Astashahada kutoka chuo kinachotambulika na Serikali.
 
Shahada: Mwombaji awe amehitimu kidato cha sita na ufaulu wa alama nne na kuendelea katika masomo mawili isipokua masomo ya dini AU Awe amehitimu Stashahada kwa ufaulu wa G.P.A ya 3.0 na kuendelea kutoka chuo kilichosajiliwa na serikali na atume maombi yake kupitia mtandao wa chuo www.smmuco.ac.tz Bofya neno ONLINE APPLICATION, KWA MSAADA 0756 512 757, 0755 807199
 
FOMU ZA MAOMBI: Zinapatikana kwenye website ya Chuo www.smmuco.ac.tz
 
Kwa maelezo zaidi fika ofisi za udahili zilizopo Moshi Mjini au wasiliana nasi kwa namba; 0653-422 928, 0756-029 652, 0786 862 089,
0755 319 082,
+255 756 302 743,
+255 755 553 970,
068 726 3623,
+255 65 319 3550,
+255 67 278 7155.

 
MAOMBI YOTE YA KUJIUNGA NA CHUO NI BURE


Share:

0 comments:

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...

Popular Posts

Unordered List

Pages

Blog Archive


Copyright © MASWAYETU BLOG | Powered by Blogger